AZIZ anajikuta anaingia katika mkasa mwingine wa kupambana na magaidi waliomteka nyara binti wa bilionea mmoja wa Uingereza ...
BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji ugenini, kocha mkuu wa Pamba, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema ...
KINDA wa Arsenal, Myles Lewis-Skelly ameonywa kwamba asirudie kufanya kejeli zake kwa straika wa Manchester City, Erling ...
TOTTENHAM kibogoyo ya kocha Ange Postecoglou imevuna ilichopanda usiku wa jana Alhamisi wakati iliposukumwa nje ya Kombe la Ligi na hivyo kupoteza nafasi ya kunyakua taji lolote ambalo ...
CHELSEA ina matumaini makubwa beki wa kati wa Crystal Palace na England, Marc Guehi, 24, atajiunga nayo katika dirisha lijalo ...
KABLA ya tukio la Simba kuangusha pointi moja mbele ya Fountain Gate juzi jioni, mjadala ulikuwa kitendo cha kocha wa Yanga, Saed Ramovic kuikacha timu hiyo ndani ya muda mfupi na kuibukia ...
SAKATA la wachezaji watatu wa kigeni waliobadilisha uraia wao limechukua sura mpya baada ya wawili kati yao kuanzishwa katika kikosi cha timu ya Singida Black Stars dhidi ya Kagera Sugar.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa Wilaya ya Temeke, Hashim Mziray amemtangaza Mohamed Saleh Mohamed kuwa ndiye Mwenyekiti wa chama cha soka wilayani humo (TEFA) baada ya kushinda ...
Unaweza kusema rungu la FIFA limeigusa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ baada ya kutangazwa uamuzi wa kuifungia Congo ...
Kitendo cha mwamuzi Abel William wa Arusha jana kumuonyesha kadi mbili (ya njano na nyekundu) kwa pamoja kipa wa Fountain Gate, John Noble katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyomalizika kwa sare ...
Serikali ya Kenya inatarajia kumaliza ukarabati wa Uwanja wa Moi Kasarani mwezi Aprili. Uwanja huu wenye uwezo wa kuchukua ...
KOCHA wa Fenerbahce, Jose Mourinho alimpiga kibao Mkalimani wake baada ya kufanya makosa katika mkutano na waandishi wa habari.